• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA

Posted on: May 31st, 2024


Mbio za Mwenge wa Uhuru zimeingia siku ya pili Mkoani Mtwara ambapo Leo ni zamu ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara.

Jumla ya Miradi 6 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 1 imewekewa mawe ya msingi huku mingine Ikitembelewa.

Ukiwa katika Kata ya msimbati Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika kituo Cha Afya msimbati Mradi ulioghari kiasi Cha shilingi Milioni 618.9

Akizungumza mara baada ya uzinduzi huo kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Mhe. Godfrey Mzava amememwagiza Katibu Tawala Mkoa kuunda timu ya Ukaguzi maalumu Ili kujiridhisha kuhusu matumizi ya Fedha za Mradi huo.

Uamuzi huo wa Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Mhe Godfrey Mzava unafuatia kutoridhishwa na nyaraka za matumizi ya fedha za mradi ambapo ametoa siku Saba kwa Uongozi wa Mkoa kukamilisha Ukaguzi Maalumu Ili kupata ukweli wa swala hilo.

Halikadhalika katika Kata hiyo ya Msimbati Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya sekondari Msimbati Uliogharimu kiasi Cha shilingi Milioni 141.8.

Mradi mwingine uliowekewa jiwe la msingi ni mradi wa maji Makome katika kijiji Cha Makome Uliogharimu zaidi ya shilingi Milioni 600 ambao utekelezaji wake umefikia asilimia 70.

Kuhusu utekelezaji wa Mradi huo Mhe. Mzava amesema ameridhishwa na hatua iliyofikiwa na kuongeza kuwa inatoa jibu la changamoto ya Maji iliyokuwa inawakabili wakazi wa eneo hilo.

Halikadhalika Mhe. Godfrey Mzava ameipongeza Mamlaka ya Usambazaji wa Maji Safi Vijijini na Usafi wa Mazingira RUWASA kwa kuzingatia sheria ya Manunuzi kupitia matumizi ya mfumo Mpya wa NEST na ambapo amezitaka taasisi nyingine kuitumia mfumo huo kama sheria Inavyoelekeza.


Mei 31, 2024


#tunaifunguamtwara

#kaziiendelee


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.