• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mhe. Brig. Gen. Marco Elisha Gaguti AONGOZA KIKAO CHA PHC MKOANI MTWARA

Posted on: July 6th, 2021

Kikao cha PHC (Primary Health Care) kimefanyika mkoani Mtwara kwa lengo la kuhimizana na kupanga mikakati ya kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya Mapafu ( COVID -19). Kikao hiki kimefanyika katika ukumbi wa boma Mkoa na kimeongoza na mwenyekiti wake ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Brig. Gen. Marco Elisha Gaguti na kuhudhuriwa na Katibu Tawala mkoa bwana Mohamed A Malela,  waheshimiwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, waganga wakuu wa halmashauri, viongozi wa dini, wazee maarufu na wanahabari

Wengine ni timu ya usimamizi wa huduma za afya mkoa (RHMT), wakuu wa seksheni na vitengo kutoka sekretarieti ya mkoa Mtwara, wakuu wa taasisi zaambazo ni TMDA, MSD, NHIF, Hospitali ya rufaa ya Ndanda, na mameneja wa bandanri na kiwanja cha ndege Mtwara.

Katika kikao hiki, RMO aliwasilisha mada ya mwenendo wa ugonjwa wa CORONA nchini Tanzania na kueleza malengo ya nchi katika kupambana na COVID-19 yanayotolewa kupitia Wizara ya Afya.

Pichani; Wakati wa kikao cha PHC, RMO akiwasilisha mada ya mwenendo wa ugonjwa wa CORONA nchini kwenye Ukumbi wa Boma uliopo Ofisi ya Mkuu wa MKoa Mtwara.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.