• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MIAKA 63 YA TANZANIA BARA, USHIRIKIANO NI MAENDELEO

Posted on: December 9th, 2024

Mgeni rasmi katika maadhimisho ya maiaka 63 ya Uhuru Tanzania bara mkoa wa Mtwara Mkuu wa wilaya ya Newala, Mhe. Rajabu Kundya kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara leo tarehe 9 Disemba 2024 ametoa rai kwa Viongozi wa serikali za mitaa kushirikisha wananchi ili kuleta maendeleo katika maeneo yao.

“Mafanikio yaliyopatikana kisiasa, kiuchumi, kiulinzi, kijamii na kiteknolojia ni matunda ya ushirikiano mzuri uliopo baina ya viongozi mbalimbali na wananchi mkoani Mtwara.” Alieleza Mhe. Kundya

Mhe. Kundya aliongeza kwa kusema; “Ninawasihi viongozi wote walioshinda katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa kuwashirikisha wananchi wote bila kujali vyama vyao vya siasa, itikadi za siasa na dini; wawashirikishe kikamilifu. Ushirikishwaji wa wananchi ndio msingi wa maendeleo yetu.”

Aidha, Mhe. Kundya amewasihi wananchi kuongeza jitihada ya kusimamia elimu ya watoto wa kike ili wawe sehemu ya mafanikio katika shule ya kisasa inayojengwa mkoani Mtwara, “Mradi wa ujenzi wa shule ya wasichana ya kitaifa kupitia fedha za SEIQUIP kwa thamani ya Bilioni 4 zimekwishapokelewa na mradi unaendelea.”

Akieleza mafanikio ya mkoa wa Mtwara yatokanayo na Uhuru, Mhe. Kundya alisema, Mkoa umepiga hatua kubwa za maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo usafiri ambapo korosho ya mikoa ya kusini inasafirishwa kupitia bandari ya Mtwara, kwa msimu huu wa kotosho mpaka leo jumla ya tani 125,169 zimesafirishwa na tani 30 elfu zimepakiwa tayari kusafirishwa.

“Mkoa umetumia jumla ya Bilioni 170 kwaajili ya uwekezaji wa umeme vijijini (REA) ambazo zimewezesha kuwasha vijiji vyote 785 vya mkoa wa Mtwara; mpango wa serikali kwa sasa ni kuanza mradi mwingine kuhakikisha vitongoji vyote vinapata umeme usio na mashaka ili kuchochea maendeleo katika mkoa wetu.” Alieleza Mhe. Kundya

Kauli mbiu ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania 2024; “UONGOZI MADHUBUTI NA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI NI MSINGI WA MAENDELEO YETU”.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CSR YAIGUSA JESHI LA POLISI NA UHAMIAJI MTWARA

    April 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASHWA KIBAHA; KUKIMBIZWA MIKOA 31.

    April 02, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA MKONO WA EID NA PASAKA MTWARA

    March 31, 2025
  • RC SAWALA AMUAPISHA DC MASASI; AMPA MAELEKEZO

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.