• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

Posted on: May 27th, 2025

Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega ameziagiza TANROAD na TARURA kuhakikisha wanawasimamia wakandarasi ili waweze kutoa ajira kwa wananchi wazawa pindi wanapotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja.

Waziri Ulega ametoa agizo hilo mapema leo tarehe 27 Mei 2025 alipotembelea na kukagua mradi wa ukarabati wa barabara ya Mtwara-Mingoyo (Mnazi mmoja) yenye urefu wa km 82 kwa thamani ya Shilingi Bilioni 152 na ile ya Mingoyo-Masasi yenye urefu wa Km 118 kwa thamani ya Bilioni 249.

“Afisa Rasilimali watu uhakikishe vijana wa hapa wanapata ajira, wakati wa kutoa ajira mshirikishe ofisi ya Mkuu wa Wilaya na serikali kwa ujumla, maafisa kazi waje hapa ili mwisho tuweze kujua mradi umeleta ajira ngapi kwa wananchi wetu.” Alisema Waziri Ulega

Akiongea na wafanyakazi wa mradi huo Mhe. Ulega alisema “Barabara hii si ya mchina, ni yetu watanzania, msifanye udokozi, fanyeni kazi kwa kujituma ili mradi unapoisha muwe mmepata maarifa ambayo yatakusaidia kuwa fundi mzuri.”

Waziri Ulega ameeleza kuwa tayari Serikali imeanza mchakato wa kuwarasimisha mafundi wasio rasmi ambao hawajapita kwenye vyuo vya mafunzo ya ufundi ila wana uzoefu wa ujenzi ili wapewe ajira hivyo kuzitaka mamlaka pamoja na wakandarasi kutoa vyeti kwa wafundi pindi mradi unapokamilika vitakavyowawezesha kutambuliwa.

Aidha, Waziri Ulega amemtaka mkandarasi huyo kufanya kazi kwa wakati na kwa ubora kwani tayari Serikali imeshamlipa malipo ya awali.

Kwa niaba ya wana Mtwara, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Kanali Patrick Sawala amemshukuru Waziri Ulega pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuifungua Mtwara kwa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.