• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Miti milioni sita kupandwa Mtwara

Posted on: March 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akipanda mti wakati wa uzinduzi wa upandaji miti Kimkoa Mtwara


Mkoa wa Mtwara umeazimia kupanda miti milioni sita katika kipindi cha mwaka 2018. Miti hiyo itapandwa kupitia makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo Halmashauri  za  Wilaya,  watu  binafsi,  vikundi  na  Taasisi  mbalimbali  za  Kiserikali  na  zisizo  za  Kiserikali.  Aidha, aina  ya Miti  inayotarajiwa  kupandwa  ni  pamoja  na  miti ya  mbao,  mijengo,  kuni,  mapambo,  matunda na  miti  kilimo  hususan  mikorosho, michungwa na  miembe.

Hayo yamesemwa wiki hii na Katibu Tawala Msaidizi uchumi na uzalishaji mkoa wa Mtwara Amani Rusake wakati wa uzinduzi wa kampeini ya upandaji miti kimkoa uliofanyika katika kijiji cha Muungano kilichoko kata ya Lulindi wilayani Masassi Mkoani Mtwara.

Amesema tangu miaka ya nyuma mkoa umekwa ukihamasisha upandaji miti ambapo kwa kipindi cha miaka mitatu tangu 2015 mkoa umepanda miti 11,296,447. Mwaka  2015 mkoa ulipanda miti 3,250,442, Mwaka 2016 miti 3,353,273, Mwaka 2017 miti 4,692,732.

Ameitaja changanmoto ya ukataji miti hovyo kuwa ni moja ya sababu ya kupungua kwa misitu na kwamba mkoa umejipanga kupambana na hali hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amesema ukataji wa miti kiholela haukubaliki hivyo amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanasimamia uzuiaji wa ukataji wa miti hovyo. Aidha ametoa wiki tatu kuhakikisha anapata taarifa ya orodha ya maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ukataji miti kwa ajili ya mkaa na vituo vya kukusanyia mkaa, orodha ya watengeneza mkaa, Ushahidi wa  miti  isiyopungua  1,000  au  zaidi  iliyopandwa  wakati  wa  msimu  wa  mvua  na  kila   mtengenezaji  wa  mkaa  aliyepata  leseni  kutoka  Wilayani.

Pia ameagiza sehemu ambapo hazipo Kamati  za  mazingira  za  vijiji   zinazohusika  pia  na  suala  la  upandaji  miti zianzishwe mara moja. Vilevile Kila  kijiji    kiwe  na  shamba  au  mashamba  maalum  ya  miti  kwa  ajili  ya  matumizi  ya  nishati  (kuni, mkaa)  na  biashara  ya  mbao.  


Sambamba na maagizo hayo Mheshimiwa Byakanwa ameagiza kila Mkuu wa Wilaya kuzindua kampeini hii wilayani kwake ili mkakati huu wa upandaji miti uwafikie na kueleweka kwa wananchi wote.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • IGENI MFANO WA MTWARA KUBORESHA ELIMU – WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF ADOLF MKENDA.

    March 16, 2023
  • TUONGEZE JITIHADA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA: KANALI AHMED ABBAS AHMED

    March 08, 2023
  • NIMERIDHISHWA NA UBUNIFU WA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MWENGE WA UHURU¬_WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU MHE. PROF JOYCE NDALICHAKO.

    March 06, 2023
  • LETENI MAONI YENU TUTABORESHA MFUMO WA UTOAJI HAKI_JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN CHANDE.

    February 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.