• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MKOA WA MTWARA WAZINDUA MSIMU WA KILIMO 2024/2025

Posted on: December 30th, 2024

Uzinduzi wa msimu wa Kilimo katika Mkoa wa Mtwara umefanyika rasmi leo tarehe 30 Desemba 2024 ikiwa ni ishara ya kuaza rasmi kwa kilimo na uzalishaji wa mazao mbalimbali katika mkoa wa Mtwara.

Uzinduzi huo umefanyika katika Kijiji cha Mpindimbi Wilaya ya Masasi na kuongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Christopher Edward Magala aliyemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala.

Akizungumza katika uzinduzi huo DC Magala amesema Mkoa wa Mtwara unaendelea na mkakati wa kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo ukiwepo ufuta,Mbaazi na Korosho.

Aidha amewataka wananchi kuendelea kujishughulisha na kilimo cha aina mbalimbali, kutokana na mazingira mazuri ya kuwezesha kilimo ambayo yamewekwa na serikali ya awamu ya sita.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Uchumi na Uzalishaji ambaye pia ni Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bi. Nanjiva Nzunda amesema kuwa hali ya chakula katika mkoa wa Mtwara imeendelea kuwa ya kuridhisha.

Pia ametumia nafasi hiyo kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa usambazaji wa pembejeo kwa wakulima ikiwemo mpango wa kutoa ruzuku ya mbolea na mbegu za mahindi zilizothibitishwa ubora kwa wakulima

"Tunamshukuru sana Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kukipa kipaumbele kilimo ambacho kimeendelea kuwainua wakulima wa Mkoa wa Mtwara na kuzidi kuwaimarisha kiuchumi" amesema Bi. Nanjiva.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CSR YAIGUSA JESHI LA POLISI NA UHAMIAJI MTWARA

    April 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASHWA KIBAHA; KUKIMBIZWA MIKOA 31.

    April 02, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA MKONO WA EID NA PASAKA MTWARA

    March 31, 2025
  • RC SAWALA AMUAPISHA DC MASASI; AMPA MAELEKEZO

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.