• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MSIMU WA NYANGUMI 2024 MTWARA WAZINDULIWA KWA KISHINDO

Posted on: August 28th, 2024



Katika kuhakikisha Mtwara inazidi kufunguka kiutalii, Mhe. Mwanahamisi Munkunda, Mkuu wa wilaya ya Mtwara kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa jana tarehe 28/08/2024 amezindua rasmi Tamasha la Nyangumi 2024 rasmi katika viwanja vya Mashujaa.


“Mtwara una vivutio vingi vya kiutalii ambavyo bado havijulikani kwa watu, ni kiu ya Mhe. Rais Samia kuona mkoa wa Mtwara unafunguka kiutalii na kiuchumi; tayari tumeanza kutumia bandari ya Mtwara kusafirisha mazao ya korosho sasa tutangaze vivutio vyetu ikiwemo msimu huu wa Nyangumi ili wageni waje lakini pia na sisi wakazi twende tukafanye utalii wa ndani.” Alieleza Mhe. Munkunda


Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha hilo, Mhifadhi Mfawidhi wa Marine Park, Dkt. Reidfred Ngowo alisema Nyangumi huonekana katika Hifadhi ya Bahari ya Ghuba ya Mnazi na Maingiliano ya Mto Ruvuma kuanzia mwezi Julai mpaka Novemba kila mwaka kwani mazingira ya hayo ni rafiki kwao kwa kukidhi mahitaji yao ya kujamiiana, kuzaana na kulea.


“Nyangumi wamekuwa kivutio kwa watu ndani na nje ya nchi kwa kuwa wana sifa za kipekee ikiwa ni pamoja na kuwa ni viumbe wakubwa wanaoishi majini wakiwa na uzito unakadiriwa kufikia tani 40. Pia nyangumi hubeba mimba kwa kipindi cha miezi 12 na mtoto wake huzaliwa akiwa na

uzito wa kilogramu 900 hadi 1000 huku akiwa na uwezo wa kuzaa kila baada ya miaka mitatu.” Alieleza Dkt. Ngowo


Tamasha hilo limelenga kujenga uelewa kwa jamii kuhusu umuhimu wa rasilimali ambazo zinahifadhiwa na kutoa fursa kwa wawekezaji kuwekeza katika maeneo mbalimbali ikiwemo kujenga hoteli.


Kwa upande wake, Mhifadhi wa Bahari, Mussa Ally ameitaka jamii ya wavuvi kutowavua  Nyangumi kwani husaidia kunyonya hewa ya ukaa ambayo inaleta athari kubwa.


Aidha, Maonesho hayo yanaendelea katika viwanja vya Mashujaa mpaka tarehe 06/09/2024 ambapo wananchi watapata fursa ya kujiandikisha kwaajili ya kwenda Msimbati maadhimisho ya kilele cha Tamasha la Nyangumi tarehe 07/09/2024

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.