• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA HADI COMORO NJIA NYEUPE MELI YA ABIRIA 300 YAANZA KUTOA HUDUMA YA USAFIRI.

Posted on: April 19th, 2024

MTWARA HADI COMORO NJIA NYEUPE.


Chemba ya Biashara na Kilimo Tanzania (TCCIA) kwa kushirikiana na muwekezaji kutoka visiwa vya Comoro wakiongozwa na kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bi Mwanahamis Munkunda wamezindua meli ya abiria kutoka Comoro kuja Mtwara.

Meli hiyo imezinduliwa leo katika Bandari ya Mtwara mara baada ya kuwasili Bandari ya Mtwara ikitokea Comoro kuleta abiria wakiwemo watu ambao wanakuja kwa ajili ya matibabu katika Hospitali ya Muhimbili na Hospitali ya rufaa kanda ya Kusini.

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mwanahamisi Munkunda ameishukuru TCCIA pamoja na muwekezaji kwa kuanzisha meli ya kusafirisha abiria akisema hatua hiyo itaongeza ukuaji wa utalii wa matibabu nchini pamoja na Biashara.

Amesema serikali itatoa ushirikiano wa kutosha kwa muwekezaji ili kuhakikisha usafiri huo unakuwa endelevu.

Akizungumza katika uzinduzi wa meli hiyo ya kwanza ya abiria tangu kufanyika uboreshaji wa Bandari, Makamu wa Rais TCCIA Swallah Said Swallah amesema meli hiyo ina uwezo wa kubeba abiria 300 na mizigo mchanganyiko wa vyakula tani 150.

Meli hiyo inatarajiwa kufanya safari zake mara mbili kwa mwezi ikileta abiria kutoka Comoro kuja Mtwara na kutoka Mtwara kwenda Comoro ikipeleka mazao ya biashara.

Swallah amewataka wafanyabiara wa Mtwara kuchangamkia fursa ya kupeleka bidhaa za biashara hususan vyakula pamoja na mazao yote yanayolimwa kwenye mikoa ya Lindi , Ruvuma na Mtwara.

Aprili 19, 2024.


#TunaifunguaMtwara

#KaziIendelee

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.