• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara kupanda miti milioni 5

Posted on: February 15th, 2020

Mkoa wa Mtwara unatarajia kupanda miti isiyopungua milioni tano kwa kipindi cha mwaka 2020. Miti hiyo itapandwa kupitia watu binafsi, vikundi na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali.

Hayo yamebainishwa leo na Afisa Misitu Sekretarieti ya Mkoa wa Mtwara, Ronald Panga katika maadhimisho ya siku ya upandaji miti Mkoani mtwara iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Tandika Manispaa ya Mtwara Mikindani.

Katika maadhimisho hayo yaliyohudhuliwa na viongozi mbalimbali wa mkoa, amesema Miti inayotarajiwa kupandwa ni pamoja na miti ya mbao, mijengo, kuni, mapambo, matunda na miti ya kilimo hususani mikorosho, michungwa na miembe.

Amesema upandaji huo utawezesha mkoa kufikisha miti milioni 15.1 iliyopandwa tangu kampeni hiyo ilipopewa msukomo mwaka 2015.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amewata viongozi na wadau mbalimbali wa maendeleo kuhakikisha wanasimamia sheria ili kuhakikisha ukataji miti holela unazuiwa. Amesema kesi nyingi ikiwemo ukati miti kwa ajili ya mkaa unaweza kuzuiwa iwapo wadau wote watashikamana, wakaungana katika kusimamia sheria na taratibu zizlizowekwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.