• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara, Lindi kuandaa Nanenane kitaifa 2017.

Posted on: April 4th, 2017

Mikoa ya Mtwara na Lindi imeendelea na maandalizi ya maonesho ya Nanenane 2017 yanayotarajiwa kufanyika kitaifa viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.


Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa mapema wiki hii na wakuu wa mikoa hiyo miwili, Mhe. Halima Dendego, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na Mheshimiwa Godfrey Zambi, Mkuu wa Mkoa wa Lindi na kusainiwa na Afisa Habari wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi, Elibariki Mafole wamewataka wadau wote kuendelea na maandalizi kwa maelezo kuwa taratibu zote za kuandaa zimekamilika.


Wakuu hao wameeleza kuwa Wizara ya Kilimo, MIfugo na Uvuvi kupitia barua yenye kumbukumbu namba 18/45/01/121 ya Februali 10, 2017 ilitoa ruhusa kwa mikoa hiyo kuandaa maonesho hayo kwa ushirikiano ikiwa ni mara ya nne mfululizo.


Aidha wamewataka Wakuu wa Taasisi za Serikali na Binafsi, wafanya biashara, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wanahabari na wadau wote kuhakikisha wanashiriki katika kikao cha maandalizi kitakachofanyika Aprili 12 mwaka huu katika viwanja vya Ngongo ukumbi wa Naliendele saa 3 asubuhi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.