• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA YAZIDI KUJIPANGA KUONGEZA UZALISHAJI KOROSHO

Posted on: September 5th, 2024

Katika kikao kilichokutanisha wadau wa zao la korosho siku ya jana tarehe 04/09/2024 kwa lengo la kufanya tathimini ya zao la korosho msimu uliopita na kujadili mipango kwa msimu wa 2024/2025, Afisa anaeshughulikia Uwekezaji katika Mkoa wa Mtwara, Bi. Nanjiva Nzunda alieleza kuwa kwa mwaka huu lengo la Mkoa wa Mtwara ni kuzalisha korosho tani 210,000

Kwa msimu uliopita Mkoa wa Mtwara ulizalisha tani 180,544 ikiwa ni ongezeko la 82% ukilinganisha na mwaka 2022/2023 ambapo tani 99,266 zilizalishwa.

Bi. Nanjiva alieleza kuwa kwa msimu wa 2023/2024 Bandari ya Mtwara ilisafirisha zaidi ya tani laki mbili kwenda  nchi za India na Vietnam kutoka katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma. 

Aliendelea kuongeza kwa kusema tani 7,971 zilisafirishwa kwa njia ya barabara  kuelekea Mkuranga, Mombasa-Kenya pamoja na Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Bodi ya korosho, Bw. Francis Alfred ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa na wadau wote wa korosho kwa kuendelea kusimamia vema zao la korosho huku akisisitiza umuhimu wa kuongeza thamani zao hilo.



































Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.