• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara yazindua UMISETA 2017

Posted on: May 31st, 2017

Washiriki wa UMISETA mkoa wa Mtwara wakiingia katika eneo la uzinduzi


Mashindano ya UMISETA mkoa wa Mtwara yamezinduliwa jana katika uwanja wa chuo cha Ualimu Mtwara Kawaida kilichoko mjini Mtwara. Jumla ya wanafunzi 301 watashindana katika michezo mbalimbali ili kuwapata 70 watakaopeperusha bendera ya Mtwara katika mashindano ya kitaifa yanayotarajiwa kufanyika kitaifa mjini Mwanza.

Akizungumzia mashindano Hayo, Afisa Elimu Mkoa wa Mtwara, Fatuma Kilimia amesema mandalizi yote yako sawa na kwamba wanatarajia kuwapata washiriki bora ambao watawawakilisha vema katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani Mwanza kuanzia Juni 6 hadi 16 mwa ka huu.

Kwa upande wake Afisa Michezo Mkoa wa Mtwara Rodgers Bahati amesema wanamichezo wako katika ari na moyo wa ushindi na kwamba mkoa unamatumaini makubwa ya kuwapata washindani hodari. Amesema kaulimbiu ya ya Umiseta mwaka huu ni ‘Tuwekeze katika michezo kwa ustawi wa elimu na viwanda Tanzania’ na kwamba kudumisha michezo kutasaidia kuvipata viwanda ambavyo vitapunguza soko la nje la bidhaa za michezo na hivyo bidhaa nyingi kutengenezwa hapahapa nchini.

Aidha Jenipher Erasto mchezaji wa Volleybal anasema mashindano haya yatawafanya waonekana kimataifa na kwamba maandalizi waliyoyafanya kuanzia mashuleni yanatosha kuleta ushindi kwa mkoa wa Mtwara.


ili kutazama video ya tukio hilo Bonyeza HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.