• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MWENGE WA UHURU KUPITIA MIRADI YA ZAIDI YA SHILINGI BIL 11.1 MKOANI MTWARA

Posted on: August 28th, 2021

Mwenge wa Uhuru leo  Agosti 28, 2021, umepokelewa Mkoani hapa, ambapo ukiwa katika Mkoa huo, Utapita katika Wilaya zote za Mkoa wa Mtwara na kufanya shughuli za kuzindua, Kuweka Mawe ya Msingi na kukagua Miradi yenye thamani ya Shilingi bilion 11,100,249,345

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani Lindi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara , Mkuu wa  Wilaya ya Mtwara Dunstan Kyoba, amesema Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Mtwara utakimbizwa kwenye Wilaya zote 5 za Mkoa huo, kuanzia leo tarehe 28 Agosti hadi Septemba Mosi,2021.

"Mwenge wa Uhuru utapitia jumla  ya miradi  42 yenye thamani ya  (Bilioni kumi na moja, Milioni mia moja, Laki mbili arobaini na tisa elfu, Mia tatu arobaini na tano), amesema Kyoba na kuongeza kuwa,

katika Miradi hiyo Michango ya wananchi  ni shilingi 1,105,813,300 sawa na asilimia 10%, Serikali kuu  shilingi  7,014,109,149 sawa na asilimia 64, huku fedha za Wahisani ikiwa ni shilingi  1,925,467,895 sawa na asilimi 17.

Kwa upande mwingine Michango hiyo imezihusisha Wilaya zilizofanikiwa kuchangia  shilingi 1,054,859,000 sawa na asilimia 9.

Taarifa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa inaonesha, Mwenge wa Uhuru utaweka mawe ya Msingi miradi 8, kufungua miradi 5, kuzindua miradi 7 na kuona na kukagua miradi 22.

Kyoba amesema, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kwenye umbali wa km 556 na Kiongozi wa mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Luteni Josephine Paul Mwambashi.

Mwenge wa Uhuru utahitimisha Mbio zake mkoani humo Septemba Mosi na Septemba 02 utakabidhiwa mkoani Ruvuma kwenye kijiji cha Sauti Moja.

Aidha baada ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru, Luteni Josephine Paul Mwambashi Kiongozi wa mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa amezindua vitabu vya Sera ya TEHAMA Mkoa wa Mtwara.

Pichani: Kiongozi wa mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Luteni Josephine Paul Mwambashi (katikati) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Masasi Kitabu cha Sera ya TEHAMA Mkoa mara baada ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru leo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.