• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

NANYAMBA YAPATA UHAKIKA WA ELIMU KWA WATOTO WA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2023.

Posted on: December 30th, 2022

Halmashauri ya Mji nanyamba imekabidhi madarasa 9 mapya ya shule za sekondari kwa Mkuu wa wilaya ya mtwara Mhe. Dunstan Kyobya yaliyojengwa katika mradi wa serikali wa kuhakikisha wanafunzi wote wa kidato cha kwanza wanapata elimu bora. Madarasa hayo yamekabidhiwa na Mkurugenzi wa halmashauri Mji Nanyamba Ndg. Thomas Mwailafu baada ya ukaguzi uliofanywa katika  shule ya sekondari Mtimbwilimbi, Mnyawi sekondari, pamoja na Dinyecha sekondari akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Mtwara, viongozi wa vijiji pamoja na wanachi.


Akipokea madarasa hayo Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mhe. Kyobya amewashukuru viongozi na wananchi kwa kujitoa kwao kukamilisha ujenzi huo na kuwataka waendelee kuhamasishana katika kuwasajili watoto ili madarasa hayo yakatumiwe ipasavyo katika utoaji wa elimu.


Pia ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa  kuiletea wilaya ya Mtwara Bilioni 1 na milioni 120 kwa ajili ya ujenzi wa  madarasa 56 ambayo yote yameshajengwa na yako tayari kutumika. Mhe. Kyobya amewaomba wazazi wawe na utayari wa kuwaandikisha watoto na wakifuatilia maendeleo ya watoto wao ili kukomesha utoro.


Aidha amewataka wananchi waendelea kudumisha amani, kupinga ukatili wa kijinsia, kupinga vitendo vya ushoga kwa kushirikiana  na viongozi wao ili kutengeneza jamii bora ya baadae

Makabidhiano ya madarasa hayo yamefanyika katika uwanja wa shule ya sekondari Dinyesha katika halmashauri Mji Nanyamba.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.