• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

“NDANI YA MIEZI MITATU ZAHANATI YA MILANGOMINNE IWE NA UMEME NA MAJI” KATIBU CCM MTWARA

Posted on: January 7th, 2025

Kamati ya siasa mkoa wa Mtwara ikiongozwa na Ndg. Mobutu Malima, Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mtwara, leo tarehe 07 Novemba 2024 wametembelea na kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Nanyamba pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Mtwara inayotekelezwa kwa Ilani ya chama hiko.

Katika ziara hiyo, Ndg. Malima amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kuhakikisha huduma za maji na umeme zinafika katika Zahanati ya kijiji cha Milangominne ambayo tayari imeanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje (OPD).

Aidha, Ndg. Malima ametoa rai kwa viongozi wa CCM ngazi ya vijiji kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wanaopangiwa kufundisha katika maeneo yao huku akiwataka waendelee kuweka mkazo kwa wazazi kuwapeleka watoto shule.

“Naomba muwakubali walimu, diwani panga ratiba yako uwe unafika kuwasilikiza walimu kujua changamoto zao, tunahitaji tupate matokeo chanya kwa watoto wetu, wapeni ushirikiano wajione ni sehemu ya jamii” Aliendelea kueleza Ndg. Malima.

Miradi nane yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2 imetembelewa na Kamati hiyo, ikiwemo Shule ya Msingi Chawi, Zahanati ya kijiji cha Milangominne, mradi wa maji Njengwa, Shule ya Sekondari Dinyecha, Shule ya msingi ufundi na elimu maalum Nanguruwe, Shule ya msingi Nambeleketela, Shule ya msingi Ziwani, Shule ya Sekondari Nalingu.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.