• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

OFISI YA WAZIRI MKUU YAMIMINA MISAADA KWA WALIOATHIRIWA NA MVUA MKOANI MTWARA

Posted on: March 9th, 2025

Kufuatia athari zilizotokana na mvua zilizonyesha mapema mwezi Februari 2025 mkoani Mtwara, Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia kitengo cha Uratibu na Maafa imewasilisha misaada ya kibinadamu katika Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mtwara kwaajili ya kusaidia waathiriwa.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo leo tarehe 09 Machi 2025, Bi. Consolatha Mbanga, Mratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu alianza kwa kupongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara pamoja ya ile ya Mkuu wa wilaya kwa namna walivyoratibu ukusanyaji wa misaada ya waathirika wa mvua hizo.

“Misaada tunayowasilisha hapa ni pamoja na Tani 21 za mahindi ambazo ni sawa na gunia 125, magodoro, mablanketi na chandarua 213, sahani, sabuni, mikeka, ndoo, madumu ya maji na pesa kiasi cha Shilingi 13,232,000/= ambazo zimewekwa kwenye akaunti ya Halmashauri ya Manispaa kwaajili ya kununua maharage.” Alieleza Bi. Consolatha

Kwa upande wake Mhe. Abdallah Mwaipaya, Mkuu wa wilaya Mtwara amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa misaada hiyo.

“Baada ya maafa yale ya mvua tulikutana na wadau mbalimbali kwaajili ya kutushika mkono tuwasaidie wenzetu. Kipekee niwashukuru sana kwani misaada mliyotupatia leo itasaidia waliothiriwa na mvua pamoja na wenye uhitaji.” Alisema Mhe. Mwaipaya

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.