• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

“PIGENI KURA KWA AMANI” KANALI PATRICK SAWALA

Posted on: November 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala leo Novemba 27, 2024 majira ya Saa 2:00 asubuhi ameshiriki kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika kituo cha Shangani Mashariki Rest house ambapo amesema anaridhishwa na wasimamizi wanasimamia zoezi hilo .


Akizungumza na vyombo vya habari kituoni hapo alipokamilisha zoezi la kupiga kura, Kanali Sawala amesema yeye binafsi ametimiza haki yake ya kikatiba Kwa kumchagua Kiongozi katika eneo lake huku akitoa wito Kwa wanaMtwara wenye sifa kujitokeza kupiga kura ndani ya muda uliowekwa kisheria.

“Ndugu wanahabari bila shaka mmejionea jinsi wananchi walivyohamasika kushirika katika uchaguzi huu, Kwa ujumla zoezi linaendelea vizuri, utaratibu unafuatwa na amani imetawala” aliongeza Kanali Sawala.

Kwa upande wake msimamizi wa Kituo Cha Shangani Mashariki (Rest House) Bi. Ancilla Marembela amesema zoezi la kupiga kura limeanza ndani ya muda uliopangwa na linaendelea vizuri ambapo wapiga kura waliojiandikisha wanaendelea kujitokeza Kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba.


Aidha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara Issa Juma Selemani amesema polisi imeimarisha doria katika vituo vyote 3734 vya kupigia kura na kuongeza kuwa zoezi hilo linaendelea vizuri Kwa amani.

Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wenye sifa waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura wanashiriki katika uchaguzi huo kuchagua viongozi wao akiwemo mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa mtaa, wajumbe wa kundi la wanawake pamoja na kundi mchanganyiko.


Zoezi la kupiga kura linatarajiwa kuhitimishwa leo majira ya 10:00 jioni.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.