• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Radi yaua mwanafunzi sekondari ya Mikindani

Posted on: March 5th, 2019

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mikindani Mkoani Mtwara Abdul Masamba amepoteza maisha na wengine 24 kujeruhiwa baada ya radi kupiga katika moja ya darasa la shule hiyo asubuhi ya leo Machi 5, 2019. Akizungumzia tukio hilo Mwalimu Elizabeth Moses wa shule hiyo amesema tukio hilo lilitokea saa 4 asubuhi wakati wanafunzi wakiwa madarasani.

Amesema radi ilipiga mara ya kwanza, kisha baada ya dakika kama tano ikapiga tena, wakasikia kelele kutoka darasa la kidato cha tatu A. Walienda wakakuta wanafunzi wamelala chini. wakaanza kuwatoa nje na kuwawaisha zahanati ya Mikindani.  Kwa bahati Mbaya mmoja akafariki kabla ya kufikishwa Hospitali.

“Tunashukuru kwa ushirikiano tulioupata kutoka kwa wananchi wa Mikindani, Madereva, Mwenyekiti wa Bodi,  Ofisi ya Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. .” Amesema Mwalimu Elizabeth

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda ameshukuru hatua za haraka zilizochukuliwa na zahanati ya Mikindani pamoja na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Ligula.

Hakuna kilichochelewa. Kila kitu tulikikuta mahali pake. Walipokelewa na wanaendelea kupata huduma vizuri. Amesema Mmanda.

Naye Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ligula. Dkt. Lobikieki Kisambu amesema wamepokea Majeruhi 24. Wavulana 10 na wasichana 14 ambapo wawili wameruhusiwa kuondoka na wengine wanaendelea na matibabu na hali zao zinaendelea vizuri


Video HII HAPA


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.