• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Rais Magufuli aagiza wilaya za Mtwara kuunganishwa kwa lami

Posted on: April 4th, 2019

Rais Dkt. John Magufuli ameagiza zabuni ya ujenzi wa barabara kati ya Mnivata hadi Masasi mjini umbali wa takribani kilometa 150 itangazwe mara moja. Agizo hlo amelitoa leo Mjini Newala akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani hapa.  Utekelezaji wa agizo hilo utaifanya wilaya zote za mkoa wa Mtwara kuunganishwa kwa lami. ujenzi unaoendelea sasa ni kilometa 50 kutoka Mtwara hadi Mnivata umbali wa kilometa 50.

Akizungumzia uamuzi huo Mheshimiwa Magufuli amesema lengo la serikali ni kuhakikisha mkoa wa Mtwara unaunganishwa na nchi jirani ikiwemo Msumbiji na Malawi ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa kutoka nchi hizo pamoja na mikoa yote ya kwenda mataifa mengine.

Amesisitiza kwamba ndiyo maana serikali iliamua kuwekeza katika upanuzi wa Bandari ya Mtwara pamoja na uwanja wa Ndege wa Mtwara lengo likiwa kuwezesha bidhaa na abiria wa ndani ya nje ya nchi kuifikia Mtwara kwa urahisi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa  Gelasius Byakanwa amepongeza uamuzi huo na kusisitiza kuwa barabara hiyo ina umuuhimu mkubwa kwa uchumi wa Mtwara hasa kutokana na usafirishaji wa zao la korosho ambao unafanyika kupitia barabara hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.