• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Rais Magufuli kutembelea Mtwara

Posted on: March 30th, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Mtwara

Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 30, 2019 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amesema Mheshimiwa Rais  atakuwa akitimiza ahadi yake aliyowaahidi wananchi wa Mkoa wa Mtwara Machi, 2017 wakati alipotembelea mkoani hapa.

Amesema Mheshimiwa Rais aliahidi kuja kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara inayotoka Mtwara mjini hadi kijiji cha Mnivata umbali wa kilometa hamsini.

Katika kikao hicho ambacho Mheshimiwa Byakanwa aliwaaalika wananchi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi kumlaki Mheshimiwa Rais amesema Rais atatembelea wilaya zote za mkoa wa Mtwara, kukagua, kufungua na kuweka mawe ya Msingi kwenye miradi mbalimbali.

Ameitaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege Mtwara, mradi wa ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata, ujenzi wa kiwanda cha kubangua korosho cha Yalin ambacho ni cha mtu binafsi, na Mradi wa uboreshaji wa miundombinu Chuo cha Ualimu Kitangali.

Miradi  mingine ni ule wa ujenzi wa kituo cha afya Mbonde na mradi wa barabara ya Mangaka-Nakapanya-Tunduru na Mangaka-Mtambaswala.

Aidha, Mheshimiwa Rais atapata fursa ya kusalimia na kuzungumza na wananchi wa Mkoa wa Mtwara.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.