• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RAIS SAMIA ACHANGIA MILIONI 100 UJENZI WA MSIKITI TANDAHIMBA

Posted on: December 26th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Kenan Sawala kwa naiaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 26 Novemba 2024 amekabidhi Shilingi Milioni 100 ikiwa ni kwaajili ya ujenzi wa Msikiti mkubwa wa kisasa wa Masjid RawdhwaTandahimba.

“Ombi langu ni kwamba mchango huu uliotolewa na Mhe. Rais uwe baraka, uendelee kutuunganisha kwa maana kwamba zile kamati za ujenzi ziendelee kufanya kazi zao kwa uadilifu, matumizi ya fedha yawe ya wazi ili watu wasotengeneza maswali. Pia nitoe rai ya kuwa waadilifu kwa matumizi ya fedha zinazoendelea kupatikana kutokana na michango mbalimbali.” Alieleza Kanali Sawala


Katika taarifa iliyosomwa na Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa msikiti huo, Imamu Salimu Muwanya ilieleza kuwa kutokana na ongezeko la watu ndani ya wilaya ya Tandahimba uongozi wa Bakwata uliona ni vema kujenga msikiti mkubwa ambao gharama yake ilikadiriwa kuwa Shilingi Milioni 400.


“Tukiwa tunaendelea na maandalizi ya ujezi kwa awamu ya kwanza, Uongozi na wajumbe wa kamati ya ujenzi wa msikiti tulifikiria kupeleka ombi la msaada wa fedha kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 15/03/2023 barua hiyo iliwasilishwa rasmi alipotembelea wilaya ya Tandahimba.

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Jamaldin Salim Chamwi kwa niaba ya jumuiya ya waislamu mkoa wa Mtwara amemshukuru Rais Samia kwa mchango huo alioutoa na kuahidi kushikamana pamoja na viongozi wa serikali.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.