• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Byakanwa awataka wakulima kuchangamkia huduma ya 'Tigo Korosho'

Posted on: November 16th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Gasper Byakanwa amewataka wakulima wa mkoa wa Mtwara waiamini na kuitumia huduma ya Tigo Korosho katika kupata malipo ya mauzo ya korosho. Amesema huduma hiyoni nzuri hasa katika kipindi hiki ambacho mauzo ya korosho yanafanyika.

Mheshimiwa Byakanwa ameyasema hayo leo mara baada ya kukutana na viongozi wa kampuni ya Tigo Kanda ya Kusini ofisini kwake. Amesema utaratibu wa sasa wa malipo ya korosho ni tofauti na miaka ya nyuma kwani sasa pesa zote zinalipwa kupitia huduma za fedha ikiwemo Benki na kampuni za simu badala ya utaratibu wa zamani wa kulipwa kwa viongozi wa Vyama vya Msingi.

Amesema tigo korosho itasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza msongamano wa benki na kuharakaisha huduma kwa wananchi.

Ametoa shuklani za pekee kwa wadau mbalimbali wakiwemo Bodi ya Korosho. Tume ya Maendeleo  ya Ushirika, Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha, Vyama vya Ushirika na wadau wengine wote ambao kwa pamoja wamewezesha fursa ya kufikisha fedha za wakulima kwa urahisi zaidi.

Awali akitoa taarifa ya huduma za kampuni kupitia tigo Korosho, Mkurugenzi wa kampuni hiyo Kanda ya Kusini George Lugata amesema hadi sasa kampuni hiyo iliyoanzisha huduma hiyo msimu huu imesambaza jumla ya shilingi 330,343,529. Amesema  kinachotakiwa ni mteja kujiandikisha katika mfumo wa tigo pesa na kuwasilisha vielelezo vyake kwa chama chake cha Msingi akiridhia kupata malipo yake kwa njia ya tigo korosho.

Amesema kupitia tigo Korosho mklulima analipwa fedha za mauzo ya korosho kwenye simu yake moja kwa moja bila kuhangaika kusafiri au kusubiri aletewe fedha yake.

Aidha, mteja wa tigo korosho anaweza kuhamisha fedha kiasi cha shilingi 200,000 Bila kukatwa makato yoyote.


Video yake hii HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.