• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC GAGUTI AFANYA ZIARA KUTEMBELEA VYANZO VYA GESI MTWARA

Posted on: August 19th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti, amewataka wananchi katika Mkoa huo na maeneo ambayo Gesi imepita, kuendelea kuilinda Miundombinu ya Gesi ili iendelee kuwa na faida kwao wenyewe lakini Taifa kwa Ujumla.

Brigedia Gaguti amefikia adhma hiyo Mara baada ya ziara ya kutembelea maeneo ya vyanzo na  uzalishaji wa gesi na Mitambo ya kuchakata Gesi asilia MSIMBATI - (M&P) MNAZIBAY na TPDC- MADIMBA

"Nimekuja hapa leo,  lengo likiwa ni kupata uelewa wa jumla na kuona uendeshwaji wa Shughuli mbalimbali zinazoendelea  ikiwa ni ziara yangu  ya kwanza kwenye maeneo haya" Amesema Gaguti.

Brigedia Jenerali Gaguti pia amewapongeza TPDC na wadau wao kwa kazi nzuri ya uzalishaji wa Gesi ambayo inawezesha  kuwepo kwa   nishati ya Umeme wa uhakika kwa Mkoa wa Mtwara na Lindi pamoja na takribani asilimia 50 ya Umeme kwenye Mkoa wa Dar Es Salaam .

"Nitoe rai kwa wananchi wa Mtwara na maeneo yote ambayo Gesi inapita kuendelea kuitunza miundo mbinu ya Gesi kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla" amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa na kuwataka TPDC kuendelea  kuwajengea uwezo watanzania ambao kwa sasa kwa asilimia kubwa ndiyo wanao ongoza Mitambo hiyo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa ameendelea kuhamasisha wazawa kupenda kusomea vitu ambavyo Tanzania ina malighafi ya kutosha ikiwemo Gesi asilia na mengineyo ili waweze kuhimili kufanya kazi kwenye maeneo hayo.

Pichani; Mhe. Gaguti (Kulia) akipewa maelezo na Meneja wa Kiwanda cha kuchakata Gesi Asilia cha Madimba   Leonce Mrosso (Kushoto)

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.