• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC GAGUTI AAGIZA WAFANYABIASHARA KUHAMIA SOKO LA CHUNO

Posted on: May 31st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig. Jen. Marco Gaguti amewataka wananchi wanaofanya biashara Sabasaba na maeneo mengine kuhamisha bidhaa zao na kuhamia soko la chuno. Amesema kuwa tayari ofisi yake imeshatoa maelekezo ya kutaka biashara zote kuhamia soko la Chuno na kwamba itasimamia kuhakikisha wafanyabaishara hao wanahamia Sokoni hapo. Gaguti ametoa maagizo hayo leo Mei 31,2021 alipofanya ziara yake ya kwanza ya ukaguzi wa Soko la Chuno pamoja na kuongea na wafanyabiashara wa soko hilo.

Katika kuhakikisha soko hilo linaendelea kufanya kazi amewasisitiza wananchi wote wa Manispaa ya Mtwara-Mikindani kutumia soko la Chuno kupata huduma mbalimbali badala ya kutumia masoko mengine. “Itakuwa ni dharau sana kwa Serikali imetuletea soko Zuri halafu hatutaki kulitumia ni dharau kwa watanzania pia kwa sababu fedha hizi ni kodi ya wananchi tulitumie soko hili vizuri”. Amesema Gaguti

Wakati huo huo Gaguti ameishukuru Serikali kwa kutoa shilingi Bilioni 5.3 za ujenzi wa soko la hilo na kuwataka wafanyabaishara kutoa huduma iliyo bora na kuuza bidhaa bora ili kuwapata wateja badala ya kuamini imani za kishirikina. Aidha amewaahidi kuwapa ushirikiano wajasiriamali wadogo waliopo kwenye Mkoa wake ili waweze kufanya biashara kwenye mazingira mazuri na kuiongezea kipato. Hii ni ziara yake ya kwanza kufanya ndani ya Mkoa wa Mtwara tangu alipoteuliwa na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Mei 15 Mwaka huu.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.