• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC MTWARA ATAKA MAGARI NA PIKIPIKI ZA CHANJO KUTUNZWA

Posted on: January 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Kenan Sawala leo tarehe 13 Desemba 2024 amekabidhi magari matano na pikipiki tisa kwa Halmashauri za Mkoa wa Mtwara yaliyotolewa na Serikali kwaajili ya kuboresha huduma za chanjo.

Kanali Sawala amewatoa hofu Halmashauri Wilaya ya Newala ambayo bado haijapata gari la usimamizi wa chanjo kuwa hawajasahaulika kwani ugawaji wa vifaa unaendelea na mkoa unazidi kupokea. Aidha amewataka viongozi wa halmashauri hiyo kuendeleza mahusiano na idara zingine pamoja na halmashauri zingine ili huduma za chanjo zisikwame kwasababu ya kutokuwa na gari la usimamizi wa chanjo.

“Kipekee sana niwaombe viongozi na waendeshaji wa vyombo hivi kuzingatia matumizi sahihi ya vyombo hivi sambamba na kuvifanyia matengezo kinga ya kawaida pamoja na matengenezo makubwa kwa wakati ili viendelee kusaidia katika shughuli za chanjo kwa muda mrefu kama ilivyo adhma ya Serikali yetu. Alieleza Kanali Sawala.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala Mkoa, Bi. Nanjiva Nzunda alieleza “Ni imani yangu vyombo hivi vitaongeza kasi ya kusimamia huduma za chanjo zinazotolewa katika halmashauri kupitia vituo 287 hatimae kufikia walengwa 70,561 katika mkoa.”

Katika hafla ya mgao wa magari na pikipiki za usimamizi wa huduma ya chanjo yaliyokabidhiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mapema Desemba 2024, Mhe. Philip Mpango, Mkoa wa Mtwara ulipata Lori aina ya Isuzu NMR85H yenye thamani ya Dola za kimarekani 37,135 kuiwezesha Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kusambaza chanjo kwenye Halmashauri.

Aidha, Mkoa ulipokea Magari manne aina ya Toyota Hilux Double cabin yenye thamani ya Dola za kimarekani 180,092 ambayo yamekabidhiwa kwa Halmashauri ya Wilaya Mtwara, Masasi Mji, Nanyamba Mji na Newal Mji hivyo kufanya Halmashauri 8 za mkoa wa Mtwara kuwa na magari ya usimamizi wa chanjo. Pikipiki tisa zenye thamani ya Dolar za kimareni 13,305.43 zagaiwa kwa kila Halmashauri.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.