• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC SAWALA ATOA WIKI MBILI UJENZI WA SHULE NANYUMBU UKAMILIKE.

Posted on: February 24th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala ametoa wiki mbili kwa uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu kuhakikisha ujenzi wa miundombinu ya shule mpya ya Sekondari Kilimanihewa uwe umekamilika.

Kanali Sawala ametoa agizo hilo leo tarehe 24 Februari 2025 kwenye ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika serikali za mitaa hususan miradi ya shule za msingi (BOOST) na sekondari (SEQUIP).

“Shule hii ilipaswa kuwa imekamilika tangu Januari 30,2025, taarifa yenu hapa inasema mtakamilisha mwisho wa mwezi huu lakini zimesalia siku nne tu na kwa hatua iliyobaki sioni mkikamilisha ndani ya huo muda. Sasa, Mkurugenzi mpaka kufikia tarehe 15 Machi 2025 ujenzi uwe umekamilika.” Alisema Kanali Sawala.

Ujenzi wa Shule hiyo yenye gharama ya zaidi ya Milioni 560.55 uliofikia 90% unatarajiwa kupunguza changamoto za wanafunzi kutembea umbali mrefu hivyo utaondoa utoro na kuongeza ari ya wanafunzi kuhudhuria shuleni na kuinua kiwango cha ufaulu.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa mkoa wa Mtwara amechangia kiasi cha shilingi Milioni moja kwaajili ya umaliziaji wa shule ya msingi Mwambani.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.