• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

SARATANI YA MATITI SASA KUCHUNGUZWA NDANI YA MIEZI MIWILI MTWARA.

Posted on: February 14th, 2025

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Mtwara, Bi. Nanjiva Nzunda leo tarehe 14 Febfuari 2025 amezindua awamu ya kwanza ya mradi wa Uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti na tiba unaofadhiliwa na Wizara ya afya kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali ya JHPIEGO na Pfizer.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Bi. Nanjiva alieleza kuwa utekelezaji wa mradi huo utazingatia malengo matatu makubwa ya Shirika la Afya la Dunia (WHO) ikiwa ni pamoja na Kuboresha huduma za uchunguzi wa kina kwa kuthibisha ugonjwa wa saratani ya matiti katika kipindi kisichozidi siku 60 tangu mteja kuonwa na mtoa huduma pamoja na kuhakikisha 80% ya wagonjwa waliothibitika na saratani ya matiti wanapata tiba stahiki.

Bi. Nanjiva aliongeza kwa kusema “Katika kuimarisha huduma za afya ngazi ya mkoa, kuna jumla ya vituo 45 venye uwezo wa kutoa huduma za kichunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi na matiti.”

“Saratani ya shingo ya kizazi na matiti ni tatizo kubwa, husababisha 10% ya vifo vya wanawake. Takwimu zinaonesha mkoa wa Mtwara tatizo ni kubwa zaidi kwani hakuna wadau wanaosapoti, sasa JHPIEGO wametuunga mkono ambapo tulianza mikoa ya Tanga na Mwanza na sasa tupo Mtwara na Morogoro.” Alieleza Dkt. Safina Lymo, mratibu kutoka Wizara ya afya.

Katika hatua nyingine, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara amezishukuru wizara ya afya pamoja na wizara ya fedha kwa kwa kuwaletea mradi huo pia amewasihi viongozi ngazi ya mkoa na halmashauri kuusimamia vema mradi huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.