• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Saruji ya Dangote kushuka Bei, Ajira kuongezeka.

Posted on: June 20th, 2018

Ujumbe wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa ukitembelea Kituo cha kuzalisha Umeme kwa ajili ya kiwanda cha saruji cha Dangote wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Juni 18, 2018


Bei ya saruji inayozalishwa na kiwanda cha Dangote inatarajiwa kupungua mara baada ya kuanza uzalishaji kwa kutumia gesi asilia. Aidha, ajira zitaongezeka hali itakayosaidia kuongeza pato la wananchi. Hayo yamesemwa jana kupitia taarifa ya ujenzi wa mradi wa  kufua umeme unaotokana na gesi asilia kwa ajili ya Kiwanda hicho.

Akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018, Fundi Sanifu wa Mradi huo, Walter Nyaki amesema mradi huo ambao uko katika hatua ya mwisho ya usimikaji wa mitambo utawezesha uzalishaji kuongezeka na hivyo bei kupungua wakati ajira ikiongezeka.   

‘Mradi huu ukikamilika utawezesha kiwanda cha Dangote kuongeza uzalishaji kwa asilimia 400 na kupunguza gharama za uzalishaji kwa asilimia 90 ambapo itapelekea kuongezeka kwa vijana wanaoajiliwa katika Kiwanda'. 

Pia, kwa kuwa gharama za uendeshaji zitapungua itasaidia kupungua kwa bei ya saruji hali itakayopelekea wananchi kumudu kununua saruji hiyo na kuwa na makazi bora. Pia kurahisisha ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na sekondari’. Amesema Nyaki.

Video yake bonyeza Hapa

Kwa Upande wake kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018, Charles Francis Kabeho aliyeongoza timu ya wakimbiza mwenge kukagua Maendeleo ya mradi huo ameshukuru uongozi wa kiwanda cha Dangote kwa kuamua kuwekeza Tanzania na kuwataka wananchi kuchangamukia fursa zinazotokana na uwepo wa kiwanda hicho.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mheshimiwa Evod Mmanda amesema matarajio ya Wilaya kwa kiwanda hicho ni makubwa kwani kinasaidia kuongeza mapato ya mtu mmoja mmoja na halmashauri kwa ujumla. Pia kiwanda hicho kinasaidia kuitangaza Mtwara katika jumuia ya Kimataifa. Amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa muwekezaji huyo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • IGENI MFANO WA MTWARA KUBORESHA ELIMU – WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, PROF ADOLF MKENDA.

    March 16, 2023
  • TUONGEZE JITIHADA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA: KANALI AHMED ABBAS AHMED

    March 08, 2023
  • NIMERIDHISHWA NA UBUNIFU WA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA MWENGE WA UHURU¬_WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU MHE. PROF JOYCE NDALICHAKO.

    March 06, 2023
  • LETENI MAONI YENU TUTABORESHA MFUMO WA UTOAJI HAKI_JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN CHANDE.

    February 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.