• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Saruji ya Dangote kushuka Bei, Ajira kuongezeka.

Posted on: June 20th, 2018

Ujumbe wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa ukitembelea Kituo cha kuzalisha Umeme kwa ajili ya kiwanda cha saruji cha Dangote wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Juni 18, 2018


Bei ya saruji inayozalishwa na kiwanda cha Dangote inatarajiwa kupungua mara baada ya kuanza uzalishaji kwa kutumia gesi asilia. Aidha, ajira zitaongezeka hali itakayosaidia kuongeza pato la wananchi. Hayo yamesemwa jana kupitia taarifa ya ujenzi wa mradi wa  kufua umeme unaotokana na gesi asilia kwa ajili ya Kiwanda hicho.

Akisoma taarifa ya mradi huo kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018, Fundi Sanifu wa Mradi huo, Walter Nyaki amesema mradi huo ambao uko katika hatua ya mwisho ya usimikaji wa mitambo utawezesha uzalishaji kuongezeka na hivyo bei kupungua wakati ajira ikiongezeka.   

‘Mradi huu ukikamilika utawezesha kiwanda cha Dangote kuongeza uzalishaji kwa asilimia 400 na kupunguza gharama za uzalishaji kwa asilimia 90 ambapo itapelekea kuongezeka kwa vijana wanaoajiliwa katika Kiwanda'. 

Pia, kwa kuwa gharama za uendeshaji zitapungua itasaidia kupungua kwa bei ya saruji hali itakayopelekea wananchi kumudu kununua saruji hiyo na kuwa na makazi bora. Pia kurahisisha ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na sekondari’. Amesema Nyaki.

Video yake bonyeza Hapa

Kwa Upande wake kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018, Charles Francis Kabeho aliyeongoza timu ya wakimbiza mwenge kukagua Maendeleo ya mradi huo ameshukuru uongozi wa kiwanda cha Dangote kwa kuamua kuwekeza Tanzania na kuwataka wananchi kuchangamukia fursa zinazotokana na uwepo wa kiwanda hicho.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mheshimiwa Evod Mmanda amesema matarajio ya Wilaya kwa kiwanda hicho ni makubwa kwani kinasaidia kuongeza mapato ya mtu mmoja mmoja na halmashauri kwa ujumla. Pia kiwanda hicho kinasaidia kuitangaza Mtwara katika jumuia ya Kimataifa. Amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa muwekezaji huyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.