• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

SERIKALI ITAENDELEA KUWEKEZA KATIKA ELIMU NA MIUNDOMBINU :KANALI AHMED ABBAS AHMED - MKUU WA MKOA WA MTWARA..

Posted on: July 11th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema lengo la Serikali kutoa magari katika sekta za Elimu na Miundombinu ni kuimarisha ufuatiliaji wa ujifunzaji na ufundishaji katika shule za Mtwara sambamba na kuiongezea uwezo ofisi ya miundombinu kufuatilia utekelezaji wa miradi ya ujenzi inayoendelea ndani ya Mkoa wa Mtwara.


Kanali Abbas ameyasema hayo katika halfa ya kukabidhi magari matatu yatakayotumika kutoa huduma katika sekta za elimu na miundombinu huku akisisitiza kuwa hatua hiyo ni kielelezo Cha mkakati wa serikali ya Awamu ya Sita kuharakisha Maendeleo katika nyanja zote.


Aidha Kanali Abbas ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa jitihada kubwa inayofanya katika kuboresha sekta ya Elimu ikiwemo kuboresha miundombinu mbalimbali, kuongeza waalimu katika shule za msingi na sekondari, kutoa fedha za ruzuku kwa ajili ya uendeshaji wa shule sambamba na kununua vyombo vya usafiri kwa viongozi wa sekta ya elimu.

MWISHO.


“Mwezi Juni mwaka huu tumepokea walimu 157 wa shule za msingi na walimu 168 wa shule za sekondari ambao wamepokelewa na tayari wameanza kufanya kazi katika maeneo mbalimbali Mkoani kwetu” aliongeza Kanali Abbas.


Halikadhalika Kanali Abbas amesema kuwa pamoja na jitihada hizo, bado kuna changamoto ya upatikanaji wa chakula  cha wanafunzi katika baadhi ya shule na hivyo kutoa wito kwa wazazi kuona umuhimu wa  kuchangia huduma hiyo ili kuwawezesha watoto wao wapate chakula cha mchana wakiwa shuleni

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.