• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

SIMAMIENI MIRADI KIKAMILIFU KUONGEZA TIJA KATIKA TAALUMA: KANALI AHMED ABBAS AHMED_MKUU WA MKOA WA MTWARA.

Posted on: July 12th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed amewataka viongozi wa shule ya Sekondari ya wasichana Mtwara kuendelea kusimamia kikamilifu ujenzi wa miundombinu ikiwemo Vyumba vya Madarasa na mabweni unaoendelea katika shule hiyo ili kufikia lengo la kusajili  wanafunzi 472 muhula ujao.


Kanali Abbas ameyasema hayo mara baada ya zoezi la ukaguzi wa ujenzi wa Miundombinu hiyo iliyogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 362. 2 na kusisitiza kuwa Serikali  itahakikisha mtoto wa kike anapata haki yake ya kupata elimu katika mazingira bora na wezeshi.



Pia Kanali Abbas ametoa with kwa waalimu na walezi kusimamia  kwa ukaribu suala zima la malezi ya wanafunzi wa kike ili kuwawezesha kutimiza malengo yao  sambamba na maono ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayetaka kuona mtoto wa kike anapata fursa ya kupata Elimu kama ilivyokusudiwa


Halikadhalika mara baada ya kujionea hatua ya ujenzi wa Miundombinu iliyofikiwa,  Kanali Abbas alikabidhi zawadi ya boksi 51 za taulo za kike kwa wanafunzi wa shule hiyo pamoja na chakula cha mchana hatua ambayo amesema inalenga kuwahamasisha kusoma kwa bidii.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.