• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Simbachawene Kufungua Nanenane Lindi

Posted on: July 31st, 2017

Waziri katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene anatarajia kuwaongoza mamia ya wanaKusini na watanzania kwa ujumla katika ufunguzi wa maonesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane) Kitaifa 2017 inayotarajiwa kufanyika kitaifa katika viwanja vya Ngongo vilivyoko Manispaa ya Lindi Kesho.

Mbali na Mheshimiwa simbachawene, wageni wengine wanaotarajiwa kuwepo hiyo kesho ni pamoja na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Charles Tizeba, Aidha wenyeji wa Maonesho hayo Wakuu wa Mikoa ya Mtwara (Mhe. Halima Dendego) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi watakuwepo.

Akizungumzia maonesho haya leo baada ya kikao cha maandalizi. Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Zambi amesema kulikuwa na changamoto ya usafi katika baadhi ya maeneo jambo ambalo limeshughulikiwa na sasa kila kitu kiko sawa. Amewataka wadau wote wa kilimo kujitokeza kwa wingi katika maonesho.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego amewasisitiza wananchi wa mikoa ya Mtwara na Lindi kutumia fursa hiyo kujifunza namna bora ya kilimo. Amesema maarifa katika kilimo ni njia rahisi ya kumkomboa mwanaKusini kwani ardhi ya kulima ipo, kitu ambacho kimekuwa kikipungua ni maarifa ya kilimo bora.

Maonesho haya yatakayodumu kwa siku 8 yatahitimishwa tarehe 08 Agosti ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Hii itakwua ni mara ya Nne mfululizo kanda ya Kusini inayounganisha mikoa ya Mtwara na Lindi kuandaa maonesho haya kitaifa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.