• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Tatizo la Umeme kwa wawekezaji Mtwara sasa basi

Posted on: August 10th, 2018

Mikoa ya Mtwara na Lindi sasa imeandika historia mpya baada ya kuzinduliwa kwa mitambo mipya miwili ya kuzalisha umeme yenye uwezo wa kuzalisha megawati nne na kufanya kituo cha Mtwara kuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 22 kutoka megawati 18.

Mitambo hiyo iliwashwa jana Ijumaa na Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani saa 5:20 asubuhi katika kituo cha Mtwara kinachohudumia mikoa ya Lindi na Mtwara. mitambo hiyo imegharimu kiasi cha Sh bilioni 8.5 na hivyo kuongeza wigo mpana katika sekta ya uwekezaji katika miradi inayohitaji umeme.

Akizungumza katika hafla ya kuwasha mitambo hiyo, Dkt Medard Kalemani amesema kutokana na mikoa ya Lindi na Mtwara kukuwa kiuchumi tayari wameanza utaratibu wa kuagiza mitambo mingine miwili ili kufanya kituo cha Mtwara kuzalisha megawati 26 na kuwa na ziada ya umeme lakini kuvutia zaidi wawekezaji hasa wanaohitaji umeme wa uhakika.

“Tulichokifanya leo, hizi mashine mbili mpya, tumeziingiza  kwenye gridi ya Taifa na kuongeza megawati nne, na kufanya kuwa na jumla ya megawati 22. Kwa sasa mahitaji ya mikoa ya Lindi na Mtwara ni takribani megawati 16 na hivyo tutakuwa na ziada ya megawati sita,”mesema Waziri.

Kupata habari kwa undani pamoja na picha Bonyeza HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.