• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

TCCIA waomba Korosho zisafirishwe kupitia Bandari ya Mtwara

Posted on: September 25th, 2019

Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Mtwara, Swallah Said Swallah ameiomba Serikali kuweka mazingira rafiki ili kuhakikisha korosho zote zinazozalishwa Mtwara na mikoa jirani zinapitia bandari ya Mtwara ili kuiongezea ufanisi katika utendaji kazi wa Bandari.

 Ombi hilo amelitoa leo Septemba 25 kwenye kikao kilichowahusisha Mawaziri na Manaibu waziri kwa lengo la kujadili changamoto za wafanyabiashara na wawekezaji wa mkoa wa Mtwara.

Amesema ujenzi unaoendelea katika bandari ya Mtwara ni mkubwa, hivyo ni vema serikali ikafanya maandalizi mapema kwa kumaliza changomoto ambazo zinapelekea bandari hiyo kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo.

“Ni vizuri tukaweka msimamo sasa jinsi tunavyoweza kuitumia bandari ya Mtwara kikamilifu kwa kuhakikisha korosho zote zinazozalishwa Mtwara na mikoa jirani zinasafirishwa kwenda nje ya nchi kupitia bandari ya Mtwara ili kuiongezea ufanisi bandari yetu.”

Amesema fursa wanazozikosa wananchi wa mkoa huo kutokana na kuruhusu korosho kusafirishwa kwa barabara kwenda Dar es Salaam ni pamoja na ajira kwa wanamtwara ukosefu wa mapato ambayo yangepatikana kupitia kodi inayotokana na zao hilo.

Kikao hicho cha siku moja kiliwahusisha Mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mheshiwa Angela Kairuki, Waziri wa Viwanda na Biashara Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na Waziri wa Madini Mheshimiwa Doto Biteko.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.