Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA YAWASILI MKOANI MTWARA

Posted on: September 16th, 2024


Mganga Mkuu Mkoa wa Mtwara Dkt. Benedicto Ngaiza mapema leo hii ameongoza shughuli ya mapokezi ya Madaktari bingwa 64 wa Dkt. Samia katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

Katika mapokezi hayo Dkt. Ngaiza amesema Madaktari hao bingwa watatoa huduma za kimatibabu katika Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Mtwara na Hivyo kuwataka wananchi wote wenye shida mbali mbali kujitokeza kwa ajili ya kupata huduma hizo za kitabibu.

Dkt. Ngaiza akaongeza kuwa huduma hizo za kitabibu zitatolewa kwa wananchi wote katika vituo husika katika Halmashauri kwa muda wa siku sita kuanzia leo septemba 16, 2024 hadi septemba 22, 2024.

Katika Kutamatisha hotuba yake fupi Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Ngaiza akasema huduma zitakazotolewa na madaktari hao ni  pamoja na Huduma bingwa za magonjwa ya wanawake na Ukunga, Huduma bingwa za Watoto na Watoto wachanga, Huduma bingwa za upasuaji wa mfumo wa mkojo, Huduma bingwa za magonjwa ya ndani, Huduma bingwa za Usingizi na Ganzi, Huduma bingwa za kinywa na meno, Huduma bingwa za wauguzi pamoja na Huduma bingwa za mifupa.

Septemba 16, 2024.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.