• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

NI JUKUMU LETU VIONGOZI KUIELIMISHA JAMII UMUHIMU WA CHANJO - KANALI AHMED ABBAS AHMED_MKUU WA MKOA WA MTWARA.

Posted on: July 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed amewataka viongozi wa Mkoa wa Mtwara kuongeza ushawishi katika jamii hasa katika utoaji wa elimu kuhusu mapokeo ya chanjo pamoja na kuongeza uelewa wa jamii ili kuhakikisha mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko yanayozuilika kwa chanjo yanazuiliwa.


Kanali Abbas ametoa kauli hiyo wakati wa akifungua kikao cha kamati ya Afya ya Msingi (PHC) katika ukumbi wa Boma na kusisitiza kuwa Serikali ya Mkoa inafanya jitihada kuhakikisha huduma za chanjo zinawafikia wale wote wenye sifa za kuipata, kama njia ya kukabiliana na magonjwa yanaweza kuzuilika.


Aidha Kanali Abbas amesisitiza kuwa vingozi wanapaswa kuhakikisha wanatumia Kila mbinu kuishawishi jamii kukubali kupata chanjo na kuongeza kuwa endapo itashirikishwa kikamilifu kwa kuwatumia viongozi wa siasa, dini, mila na watu maarufu itarahisisha kufikisha elimu na kuachana na fikra potofu dhidi ya chanjo.


Halikadhalika Kanali Abbas amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, imeweka mpango wa kuwapatia chanjo ya saratani ya shingo  ya kizazi watoto wote wa kike kabla  hawajafikisha miaka 14  ili kuwalinda dhidi ya ugonjwa huo ambao kwa sasa ndio  unaongoza ukifuatiwa na ugonjwa wa Saratani ya matiti kwa wanawake.


Katika hatua nyingine kikao hicho kimetumika Kutambulisha Mradi wa Girl Effect unaokusudiwa kutoa elimu  ya afya ya uzazi sambamba na chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wanye umri wa miaka 14 katika maeneo mbalimbali Mkoani Mtwara.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.