Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

UJerumani watoa simu 836 kusajili Bima Mtwara

Posted on: April 24th, 2019

Mkuu wa Nkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa akiiangalia moja ya simu zilizotolewa na na GIZ kwa ajili ya kuandikisha wanachama wa Mfumo wa Afya ya Jamii iliyoboreshwa


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amepokea simu za mkononi 836 zenye thamani ya shilingi milioni mia moja sitini na saba na laki mbili  kwa ajili ya kusajili wanachama wa mfuko wa Afya ya jamii iliyoboreshwa (CHF Iliyoboreshwa). Simu hizo zimetolewa na Benki ya watu wa Ujerumani kupitia shirika la GIZ.

Akizungumzia msaada huo Mhe. Byakanwa ameshukuru wafadhili hao na kuwataka Idara ya afya kuhakikisha wanawafikia wananchi ndani ya wakati. Amesema lengo la mkoa ni kuhakikisha wanasajili kaya 360,000.

“Nitowe wito kwa wataalamu walioandaliwa kusajili wananchi kuhakikisha lengo linafikiwa kwa wakati. Aidha kila mwezi Mganga Mkuu wa Mkoa uhakikishe unaleta taarifa ya idadi ya kaya zilizosajiliwa”. Amesema Byakanwa

Amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara kuchangamkia fursa ya Bima ya afya ambayo inapatikana kwa gharama ndogo ya shilingi 30,000 kwa kaya.

Kwa upande wake Mshauri wa GIZ Mtwara, Paul Gogo ameshukuru ushirikiano anaoupata mkoani Mtwara. Amesema GIZ wana lengo la kuhakikisha jamii inapata afya njema na kwamba ongezeko la Simu 836 kutoka simu 30 walizozitoa hapo awali itasaidia kazi kufanyika kwa haraka zaidi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.