• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Sababu za Mkoa wa Mtwara kuwa wa Kwanza kitafa kidato cha Sita hizi hapa

Posted on: July 23rd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akimvalisha medali Maalumu Mkuu wa shule ya Sekondari Tandahimba Moses Mathias kwa kuwezesha shule kuwa ya kwanza kimkoa katika matokeo ya kidato cha sita kitaifa 2018.


Umoja na mshikamano kati ya walimu, wanafunzi, viongozi wa serikali na wadau mbalimbali wa Elimu umetajwa kuwa sababu kuu ya ufaulu wa mitihani ya kidato cha sita mkoani Mtwara. Umoja huo umewaimarisha na kuwatia moyo walimu na wanafunzi katika kutatua changamoto mbalimbali za kielimu hatimaye kuufanya mkoa wa Mtwara kuwa wa Kwanza katika mitihani ya kidato cha sita kitaifa mwaka 2018.

Hayo yamesemwa leo na walimu wa shule mbalimbali za kidato cha tano na sita mkoani Mtwara wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa kwa lengo la kuwapongeza walimu hao.

pata maelezo kwa undani pamoja na picha za tukio kwa kubonyeza HAPA

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI UKUSANYAJI WA MAPATO KUONGEZA KASI YA MAENDELEO: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    June 02, 2023
  • JARIDA LA LISHE MKOA WA MTWARA APRILI - JUNI 2023.

    June 01, 2023
  • ANZISHENI MIRADI INAYOZINGATIA MAADILI, MISAADA YA WAHISANI ISIBADILISHE MSIMAMO WENU: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 31, 2023
  • TIMIZENI WAJIBU WENU KATIKA MALEZI YA WATOTO KUJENGA FAMILIA BORA: KANALI AHMED ABBAS AHMED.

    May 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.