• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

USAID YASAINI MKATABA WA BILIONI 3.56 MTWARA UTAKAOSAIDIA KUPAMBANA NA VVU PAMOJA NA KIFUA KIKUU 2025

Posted on: December 13th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameeleza kuwa Serikali ya Mkoa wa Mtwara inashirikiana na mradi wa “USAID Afya yangu” kanda ya kusini na wadau wengine kutoa elimu ya maambukizi ya UKIMWI pamoja na kuwaanzishia dawa wale waliobainika kuwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI pamoja na wagonjwa wa kifua kikuu ambapo kwa sasa mpaka Septemba 2024 mkoa wa Mtwara una wagonjwa 35,934 ambao wanatumia dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI (ARV). Aidha ndani ya mwaka mmoja, wagonjwa 1,529 wa kifua kikuu wamepatiwa matibabu.

Kanali Sawala ameeleza hayo mapema leo tarehe 13 Desemba 2024 wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa utoaji ruzuku wa USAID Afya yangu kwa mwaka 2025 baina ya USAID na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Halmashauri zote 9 za mkoa wa Mtwara, Hospitali ya Rufaa Mkoa-Ligula, Hospitali ya Rufaa-Ndanda.

Aliongeza kwa kusema kuwa mwaka huu 2024 mpaka Septemba 2025 mradi huu utagharimu jumla ya shilingi Bilioni 3.56 kwaajili ya utekelezaji wa huduma za VVU na kifua kikuu ambapo fedha hizi zitaingizwa moja kwa moja kwenye akaunti za vituo vya kutolea huduma za afya.

“Niwaombe viongozi kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha kwa kuzingatia taratibu za kiserikali na masharti ya mkataba mliosaini; kuandaa taarifa ya shughuli zote za utekelezaji wa mradi kwa wakati na kuziwasilisha kwa USAID; kuandaa shughuli na kuomba pesa za shughuli kwa wakati; kuhakikisha malipo yanafanyika kwa wahusika kwa wakati; kuhakikisha vituo vyote vya kutolea huduma vina vifungu stahiki katika mipango yao.” Alisema Kanali Sawala

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.