• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

“VIONGOZI MKAWE BARAKA NA SIO BALAA” RC SAWALA

Posted on: February 7th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala leo tarehe 07 Februari 2025 amezindua mkataba wa baraza la wafanyakazi huku akiwasisitiza watumishi kuzingatia haki na wajibu wao.

Kanali Sawala ameeleza kuwa Baraza la wafanyakazi ni chombo pekee kinachounganisha menejimenti na watumishi ili kujadili mambo mbalimbali ya taasisi pamoja na kutatua migogoro kwa lengo la kuleta maendeleo ya taasisi na mkoa.

“Viongozi mpende kuwaunganisha wafanyakazi walio chini yenu, muwe kimbilio lao pindi wapatapo changamoto; muwe baraka kwao na si balaa.” Alieleza Kanali Sawala.

Aidha Mkuu wa Mkoa amewataka watumishi hao kujiendeleza kitaaluma ili kuzidi kufanya kazi kiufanisi na kuleta matokeo chanya.

Kwa upande wake Mwenyeki wa Baraza hilo la wafanyakazi ambaye pia ni Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, CPA. Bahati Geuzye amesisitiza upendo na ushirikiano miongoni mwa watumishi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MTWARA UMEENDELEA KUNG’ARA USIMAMIZI WA ZAO LA KOROSHO; WATWAA TUZO

    August 22, 2025
  • MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI “KUWAPA SHULE”TPDC

    August 21, 2025
  • REA KUJA NA MRADI WA MAJIKO BANIFU MKOA WA MTWARA; KISIWA CHA NAMPONDA KUNUFAIKA NA UMEME WA MFUMO WA JUA

    August 20, 2025
  • UNDP YAKABIDHI KWA MAFANIKIO MRADI WA KILIMO CHA BUSTANI ULIOSAIDIA JAMII ZILIZOATHIRIKA NA MAFURIKO MTWARA

    August 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.