• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

Posted on: June 9th, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala amepokea hundi ya Shilingi Milioni 100 kutoka Vyama vikuu vya Ushirika vya TANECU na MAMCU kwa ajili ya kuboresha mfuko wa elimu na juma la elimu mkoa wa Mtwara.
Kanali Sawala amevipongeza na kuvishukuru vyama vya ushirika kwa kuwahudumia vema wakulima kupitia vyama vya msingi, kuhakikisha pembejeo zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya sita zinawafikia wakulima kwa wakati.
Aidha amewashukuru viongozi wa vyama hivyo vya ushirika kwa kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo elimu, afya na miundombinu katika mkoa wa Mtwara.
“Imeelezwa kuwa ni mwaka wa nne mfululizo tangu 2022 Vyama hivi vinachangia mfuko wa elimu; Mkoa unatumia fedha hizo kuandaa shughuli mbalimbali za kuboresha elimu zenye lengo la kutoa motisha na tuzo kwa Halmashauri, Shule, Walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri; na tumeshuhudia ufaulu wa wanafunzi ukiongezeka. Jambo la kurudisha kwa jamii ni zuri na linapaswa kuigwa kwa vyama vingine.” Alieleza Kanali Sawala
Kwa upande wake Kaimu Mrajisi Msaidizi mkoa wa Mtwara, Ndg. Robert Nsunza ameeleza kuwa kitendo walichofanya Tanecu na Mamcu ni kukamikisha misingi ya Ushirika.
“Msingi wa saba wa Ushirika ni kujali jamii; Vyama vya Ushirika huangalia changamoto zilizopo katika jamii na kutafutia ufumbuzi, vyama vyetu vimeona visaidie sekta ya elimu.” Alieleza Ndg. Nsunza







Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.