• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUPANUA WIGO WA MAZAO KATIKA SOKO LA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI.

Posted on: August 6th, 2025

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi maalum), Mhe. Kapt. George Huruma Mkuchika amevitaka vyama vya Ushirika kuhakikisha mazao yanayozalishwa kanda ya kusini yanaingizwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani (TMX) ili kumhakikishia soko mkulima.

Mhe. Mkuchika ametoa rai hiyo leo tarehe 06 Agosti 2025 alipoungana na washiriki wa maonesho ya nanenane kanda ya kusini katika hamasa ya matumizi ya mbegu asili na vyakula vya asili.


“Mikorosho ya siku hizi usipopuliza dawa unakosa korosho, tunamshukuru Rais Samia kwa kutupa pembejeo bure, tumeweza kuongeza uzalishaji wa korosho. Niwasihi wakulima wenzangu tupalilie mashamba kwa wakati, tusipalilie kwa moto.”Alieleza Mhe. Mkuchika

Aidha, Waziri Mkuchika ameitaka jamii kuhakikisha wanakula vyakula visivyo hatarishi kwa afya na badala yake amewasihi kupenda kula vyakula vya asili vyenye lishe bora ili kuweza kustawisha jamii.


“Tumekuwa tukiwashirikisha wakulima katika tafiti zetu, majibu anayotoa mkulima sisi tunaboresha na kutengeneza mbegu bora zinazompa mkulima tija.” Alieleza Dkt. John Tenga, Kaimu Mkurugenzi wa TARI-Naliendele.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MSIMU WA 4 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPEWA MADAKTARI BINGWA 54

    September 15, 2025
  • CAG ZIARANI MTWARA; AIPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA KWA KUPATA HATI SAFI

    September 15, 2025
  • BALOZI WA URUSI AVUTIWA NA UTALII MTWARA

    September 10, 2025
  • “KALAMU YA MWANA HABARI INA NGUVU, ITUMIKE VIZURI” RC SAWALA

    September 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.