• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wadau wasifia mikakati ya kuboresha elimu mkoani Mtwara

Posted on: May 17th, 2018

Mpango wa kuhamasisha elimu mkoani Mtwara kwa kuwatambua walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo umepongezwa na wadau wa Elimu hapa nchini. Mpango huo ulioanzishwa Na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa unahusisha kuweka vibao vya kumbukumbu ya majina ya Walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kwa kila mwaka.

Akizungumza mara baada ya ziara ya kutembelea maeneo yanayotekeleza mradi wa Tusome pamoja mkoani Mtwara, iliyofanywa na wadau wa mradi huo kutoka mikoa inayoutekeleza hapa nchini, Mshauri wa Elimu mkoa wa Lindi kupitia shirika lisilo la kiserikali la ‘Education Quality Improvement Program’ (EQUIP-T) Digner Peter amesema mpango huo ni mzuri na unatoa hamasa kwa wanafunzi na walimu kufanya jitihada zaidi.

 “Kilichonifurahisha sana ni vile vibao nilivyoviona hapo shule ya Msingi Mihambwe. Niliona vibao ambavyo vinamtangaza mwalimu bora na mwanafunzi bora... Sisi tunaweza kuwa tunakiona kama ni kitu kidogo, Jamani hicho siyo kitu kidogo kwa wenzetu wazungu wangekikuza hicho. Mtu kuacha historia nzuri mahari siyo kitu kidogo. Hata kwa hela zangu nitatafuta shule hata moja Nikakifanye”. Ameeleza Digner.

Mapema mwaka huu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gerasius Byakanwa aliagiza halmashauri zote kuhakikisha zinatengeneza mazingira ya kujenga hamasa ikiwa ni pamoja na kuweka vibao vya kuwatambua mabingwa wa mwaka husika.

Pia wahakikishe Mitaala inamalizika mapema ili kuwapa wanafunzi muda wa kutosha kufanya mitihani ya kujipima.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.