• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

WAJASIRIAMALI KUPATIWA VITAMBULISHO VYA KIELETROKINI

Posted on: November 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala leo tarehe 21 Novemba 2024 katika kikao cha 8 cha Baraza la biashara la Mkoa amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya kieletroniki kwa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo vinavyotolewa na serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, jinsia, wanawake na makundi maalumu.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo la uzinduzi wa vitambulisho Kaimu Katibu Tawala Mkoa, Bw. Abdillah Mfinanga alieleza kuwa kwa awamu hii ya kwanza mkoa umepokea jumla ya vitambulisho 502 vya wajasiriamali, ambapo ametoa rai kwa wafanyabiashara ambao hawajajisajili na mauzo yao hayazidi milioni nne kwa mwaka wajisajili ili waweze kufahamika na kufanya biashara kwa uhuru zaidi.


Bi. Judith Pallangyo, Afisa maendeleo ya jamii na mratibu wa kitengo cha masuala mtambuka Halmashauri ya manispaa ya Mtwara Mikindani ameeleza sifa za wanaotakiwa kupatiwa vitambulisho hivyo, “ni lazima mhusika awe na biashara ndogo ndogo, awe ni mkazi alietambuliwa na uongozi wa mtaa, awe na kitambulisho cha taifa au mpiga kura pia aweze kulipa gharama za usajili ambazo ni shilingi elfu ishirini.”


Akieleza utofauti uliopo kati ya vitambulisho vya sasa na vile vilivyokuwa vikitolewa awali, Bi. Judith alieleza kuwa kitambulisho cha sasa ni cha kieletroniki ambapo taarifa za mhusika zinaingiliana na mamlaka mbalimbali za kiserikali.

Faida za kitambulisho hiko zimeelezwa kuwasaidia kuwatambulisha wajasiriamali kwenye taasisi mbalimbali,kupewa kipaumbele wa maeneo ya kufanyia biashara. Aidha kwa upande wa serikali itasaidia kuandaa bajeti baada ya kufahamu idadi kamili ya wajasiriamali.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.