• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye kutengeneza Barakoa

Posted on: April 17th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa Taasisi, Mashirika na watu binafsi wenye uwezo wa kutengeneza barakoa (Mask) watengeneze kwa wingi.  Wito huo ameutoa leo Aprili 17, 2020 wakati akipokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya COVID-19 kutoka kwa kampuni ya Beijing Construction and Engineering Group CO. LTD inayoshughulika na upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Mtwara.

Amesema mahitaji ya vifaa hivyo kwa sasa ni makubwa hasa kwa watoa huduma na watu wote ambao kila siku wanafanya kazi ya kukutana na watu. Aidha, amesisisitiza jamii kuendelea kujikinga na ugonjwa huo kwa kuzingatia tahadhari zote ikiwemo kuvaa barakoa huku akiwasisitiza wageni wanaotembelea ofisini kwake kuhakikisha wanavaa barakoa.

“..na mimi kama Mkuu wa Mkoa, tutakapoanza wiki inayofuata, hakuna mtu atakayefika kwenye ofisi yangu bila kuvaa Mask. kuanzia jumatatu tarehe 20, kila mtu atakayefika kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa atapaswa kuwa amevaa Mask.” Amesema Byakanwa.

Naye  Meneja wa kampuni  ya Beijing  Construction Cui Rui Tao ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa hatua inazochukua dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Amesema wameona umuhimu wa kusaidia jitihada hizo kwa kutoa msaada wa Barakoa elfu moja,  galoni 10 za lita tanotano Pamoja na vitakasa mikono.


kuangalia video Bonyeza HAPA

 

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.