• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Waziri Ummy atoa siku 60 Hospitali kufunga mfumo wa kurekodi mahudhurio

Posted on: December 5th, 2018

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametoa pongezi kwa hospitali ya wilaya ya Tandahimba kwa kufunga mfumo wa kielektloniki wa kurekodi mahudhurio ya watumishi katika hospitali hiyo. Pongezi hizo amezitoa leo alipokuwa katika ziara yake ya kikazi wilayani Tandahimba

Amesema hiyo ni njia sahihi katika kurahisisha utendaji kazi na ina rahisisha ufuatiliaji wa mahudhurio kwa watumishi.

Aidha Mheshimiwa Waziri ameagiza Hospitali zote za Wilaya na Mikoa kuhakikisha zinafunga mfumo huo ndani ya siku 60.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Said Msomoka ameshukuru serikali kwa kuweka mazingira mazuri ya utendaji kazi. Amesema wameamua kufunga mashine hizo ili kwenda sambamba na mabadiliko ya kiteknolojia.

Amesema matumizi ya mifumo hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza mahudhurio ya watumishi na kurahisisha utoaji wa stahiki za mtumishi ikiwemo malipo ya ziada kwa watumishi wanaofanya kazi nje ya muda wa kawaida wa kazi.

 “Badala ya utaratibu wa zamani wa kutambua stahili ya mtumishi katika malipo ya ziada hii inasaidia sana kwani mfumo unatoa taarifa ya muda wote ambao mtumishi alikuwepo kazini na hivyo kuondoa malalamiko ya watumishi”. Amesema Msomoka

Amesema maeneo mengine walipofunga ni makao makuu ya halmashauri, Kituo cha Afya Mahuta na Kituo cha Afya


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.