• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

WIZARA YA KILIMO YAITAKA TARI KUWEKA MIKAKATI KUHAKIKISHA MICHE INAYOGAIWA KWA WAKULIMA INAZALISHA

Posted on: February 23rd, 2025

Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya kilimo, Dkt. Hussein Mohamed Omar ameilekeza Tasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) kituo cha Naliendele kuhakikisha miche wanayowagawia wakulima inazalisha.

Dkt. Omar ametoa maelekezo hayo leo tarehe 23 Februari 2025 katika ziara yake ya siku moja mkoani Mtwara.

“Kilimo kinaajiri zaidi ya 65% ya wananchi. Wenzetu wa bodi ya korosho wameanza kusajili wakulima, TARI na nyinyi muweke mikakati kuhakikisha mnafuatilia ile miche mnayowapa wakulima inaendeleaje, tunataka matokeo chanya.” Alieleza Dkt. Omar

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia pembejeo wakulima jambo lililochochea uzalishaji wa korosho ikiwa ni pamoja na bei nzuri ambayo haijawahi kutokea hapo kabla.

Katika ziara hiyo Dkt. Omar pia alitembelea eneo la Maranje panapojengwa kongani la viwanda zaidi ya 60 ambapo alielezwa zaidi ya maghala 100 yenye uwezo wa kuhifadhi tani elfu kumi yanatarajiwa kukamilika ifikapo Mei 30, 2025.

Dkt. Omar ametoa rai kwa bodi ya korosho kuongeza jitihada za kuwashirikisha sekta binafsi ili waweze kuwekeza eneo hilo kwani nia ya serikali ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 korosho yote inabanguliwa nchini ili kuongeza thamani ya zao hilo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.