• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

ZIARA YA KANALI SAWALA WILAYANI MTWARA

Posted on: October 4th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amewataka wadau wa Kilimo wakiwemo wakulima, watunza maghala na vyama vya ushirika kufanya maandalizi stahiki ya msimu wa korosho Ili kuepuka dosari ambazo zinaweza kuepuka.


Akizungumza wakati wa Ziara yake ya kukagua miradi ya Maendeleo wilayani Mtwara, Kanali Sawala amesema baada ya kumalizika salama bila dosari msimu wa ufuta na Mbaazi anatarajia kuona wakulima na wadau wa korosho nao wanasimamia kikamilifu zoezi zima la mavuno, uhifadhi na usafirishaji bila hujuma.


''Ndugu zangu wasafirishaji, watunza maghala na wadau wa Kilimo Kwa ujumla bila shaka Kila mmoja wetu anafahamu tunakabiliwa na msimu mpya wa korosho 2024/25 naomba nendeni mkajipange Ili kuhakikisha zoezi hili linakamilika Kwa tija'' alisema Kanali Sawala.


Aidha Kanali Patrick Sawala ameongeza kuwa hategemei kuona baadhi ya wakulima wanafanya vitendo vya udanganyifu na kuonya kuwa yeyote atakayebainika hatua Kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.


''Ndugu zangu wakati tunaingia kwenye msimu wa Korosho naomba tuendelee kuwaelimisha wakulima na wadau wa korosho wahakikishe korosho inayopelekwa ghalani inakidhi viwango vya ubora, sitegemei kupata malalamiko ya korosho chafu'' alisisitiza Mhe Kanali Sawala.


Halikadhalika Kanali Sawala ameitumia ziara hiyo kutoa wito Kwa viongozi katika ngazi zote kuwahamasisha wananchi kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024.


Mkuu wa Mkoa Kanali Patrick Sawala anaendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya Maendeleo katika halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Mji Nanyamba na Manispaa ya Mtwara Mikindani.


Oct 4, 2024.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.