• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

Posted on: June 10th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala Leo juni 10, 2025 ameanza kukagua miradi ya maendeleo Katika sekta ya Elimu ambapo amekagua miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3.2
Siku ya kwanza ya ziara yake Katika halmashari za Mkoa wa Mtwara Kanali Sawala akiambatana na kamati ya usalama Mkoa wamekagua miradi ya ujenzi wa shule za Sekondari Katika halmashari za wilaya za Mtwara, Tandahimba, Newala na Mji Namyamba.
Akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua ujenzi wa shule ya sekondari Hinju Katika halmashari ya mji Namyamba , Kanali Sawala amewahakikishia kuwa Serikali ya awamu ya sita itaendelea kuwekeza sekta ya elimu ili kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kupata elimu.
"Ndugu wananchi mliofika kufuatilia maendeleo ya mradi huu, nichukue fursa hii kuwapongeza Kwa uzalendo wenu Kwa kuunga mkono jitihada za Serikali katika utekelezaji wa mradi huu, Mhe. Rais ameniagiza niwape salamu zake anasema mtakapokamilisha vizuri mradi huu, atawaletea fedha nyingine nyingi za miradi" alisisitiza Kanali Sawala .
Akiwa Katika halmashari ya wilaya Tandahimba Kanali Sawala amekagua mradi shule ya amali iliyojengwa Katika kijiji cha Mkwedu Kwa gharama ya shilingi milioni 560.6 mradi ambao umetekelezwa Kwa asilimia 90 mpaka kufikia sasa huku akionyesha kuridhishwa na kiwango cha ubora katika hatua za utekelezaji wake.
Siku ya kwanza ya ziara hiyo ya kukagua miradi ya maendeleo ilihitimishwa Kwa zoezi la ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Mcholi katika Halmashauri ya Mji Newala ambapo Kanali Sawala amesema serikali itaendelea kufuatilia Kwa Karibu miradi yote ya Maendeleo Ili kuhakikisha inaendana na thamani ya fedha iliyotumika.
Jumla ya miradi 8 ya Ujenzi wa Miundombinu ya elimu katika halmashauri 4 za Mkoa wa Mtwara imetembelewa katika siku ya kwanza ya ziara hiyo.






Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • "JUNI 30, 2025 TUTAKUWA TUMEKAMILISHA MIRADI YOTE YA MAENDELEO" - KANALI SAWALA

    June 13, 2025
  • MIRADI YETU INAKIDHI VIGEZO VYA UBORA - KANALI SAWALA

    June 11, 2025
  • VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA MTWARA KUBORESHA ELIMU

    June 09, 2025
  • ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA ELIMU

    June 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.