• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Video

  • ZIARA YA VIONGOZI KUTOKEA MTWARA KUHUSU HEWA UKAA MKOANI KATAVI YAHITIMIKA

    February 18th, 2024

    Ziara ya Kujifunza Kuhusu Usimamizi na Uendeshaji Biashara ya Hewa ya Ukaa Inayojumuisha Wataalamu Kutoka Halmashauri za Wilaya na Wataalamu Kutoka RS Mtwara Wakiongozwa na Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti na Wakurugenzi wa Halmashauri Imekamilika jioni  ya Leo Mkoani Katavi.


    Kesho  Ujumbe huo Inaondoka Kuelekea Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma Kujifunza  Masuala Mbalimbali yanayohusiana na Uzalishaji wa Chumvi na Mwenendo wa Biashara yake.


    Februari 17, 2024.

    #TunaifunguaMtwara

    #KaziIendelee

  • Ziara ya Viongozi na Wataalamu Kutoka Mtwara Kujifunza Uendeshaji wa Mradi wa Carbon au Hewa ya Ukaa Mkoani Katavi. Feb 16, 2024

    February 17th, 2024
  • Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta

    April 14th, 2020

    Februali 2019 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara aliagiza wakuu wa wilaya wote mkoani Mtwara kuhamasisha kilimo cha ufuta katika maeneo yao ili kuondokana na kutegemea zao la korosho pekee.

    Agizo hilo lilienda sambamba na kuzitaka halmashauri kuanzisha mashamba darasa ya ufuta ambayo yaliwekwa chini ya usimamzi wa wataalamu wa Taasisi ya Utafitiwa Kilimo Tanzania Kituo cha Naliendele (TARI-Naliendele)

    Halmashauri ziliitikia wito huo kwa kuanzisha mashamba hayo ambayo sasa yanendelea vizuri.

    Pia walisimamia wananchi kuanzisha mashamba ya mtu mmoja mmoja, mashamba ya familia na mashamba ya vikundi vya vijana. Baadhi ya mbinu zilizotumika ni pamoja na kuwagawia wakulima mbegu kwa matarajio ya kuwa baada ya kuvuma watarudisha kiasi kilekile walichopewa ili serikali ya eneo husika ikigawe kwa wakulima wengine.

    Wakulima walioitikia wito huo wanaanza kuiona dunia inayowezekana kupitia kilimo cha ufuta. Bwala Udede ni mmoja wa wakulima ambaye anataraji kupata zaidi ya milioni kumi ndani miezi miwili ijayo. Msikilize hapo kwenye video hiyo ya dakika mbili tu.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BALOZI WA MSUMBIJI NCHINI TANZANIA ATALII MJI MKONGWE WA MIKINDANI.

    February 26, 2025
  • “MPENI USHIRIKIANO MKURUGENZI, MIRADI IKAMILIKE” RC MTWARA

    February 24, 2025
  • RC SAWALA ATOA RAI KWA WAZAZI KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    February 24, 2025
  • RC SAWALA ATOA RAI KWA WAZAZI KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    February 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.