• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Video

  • Waziri agawa UMETA

    September 27th, 2018

    Waziri wa Nishati Mheshimiwa Dkt. Medard Kalemani amewaka watanzania  kuchangumkia fursa iliyotolewa na serikali ya kuuunganishiwa umeme kwa kutumia kifaa kinachojulikana kama Umeme Tayari (UMETA). Amesema kifaa hicho kinamuepusha mtumiaji na gharama za kufanya wiring na hivyo kupunguza gharama za kuingiza umeme kwenye nyumba.

    Waziri ameyasema hayo jana katika maeneo tofauti alipokuwa katika ziara yake ya siku mbili mkoani Mtwara.

    “Serikali imeamua kuwapungumzia gharama wananchi kwani ukishaweka hicho chombo hulazimiki tena kufanya ‘wiring’ kwa nyumba za wastani, hasa nyumba zenye chumba kimoja hadi vinne.  Kwa vile hicho kifaa kinafaa kwa matumizi yote isipokuwa viwanda tunawashauri wnanchi wavitumie. Pia tunashauri vifaa hivi vitumike kwenye taasisi za Umma kama ofisi za vijiji vituo vya afya, vituo vya polisi, zahanati na maeneo mengine ambayo kimsingi si lazima sana ufanye wiring.”

    Amesisitiza kwamba serikali imewataka wakandarasi wahakikishe wanavitoa kwa wateja wa kwanza mia moja hadi mia mbili hamsini. baada ya hapo vinakuwa vinauzwa kwa bei ya serikali ambayo ni shilingi 36,000.

    Pamoja na punguza hilo amesema serikali bado inaendelea na punguza la kuingiza umeme kupitia mradi wa REA ambapo gharama yake ni shilingi elfu 27 tu.

  • Dkt. Mpango aguswa na changamoto ya Ulinzi wa Mpaka wa Tanzania na Msumbiji

    August 22nd, 2018

    Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Philip Mpango ameahidi kutatua changamoto ya usafiri kwa kituo cha Forodha Kilambo kilichoko wilayani Mtwara katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji.


    Kituo hiki kimekuwa kikifanya kazi katika mazingira magumu kutokana na tatizo la gari la usafiri kwa wafanyakazi hali ambayo imekuwa ikisababisha usumbufu katika suala la ulinzi na ukusanyaji wa mapato.


    “Kituo chetu cha forodha hakina gari na mpaka wetu ndio hivi uko wazi kabisa, wananchi wanatembea, wanakatiza hapa mtoni, kwa hiyo udhibiti kiusalama, kimapato unakuwa mgumu sana. Tumekubaliana na viongozi wa mamlaka ya mapato kwamba kabla ya tarehe 15 mwezi wa tisa wawe wameleta gari kwa ajili ya kuhudumia kituo hiki”.


    Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalma Wilaya ya Mtwara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mheshimiwa Evod Mmanda amemshukuru Mheshimiwa Waziri. Amesema muingiliano wa watu wa Mtwara na Msumbiji ni mkubwa kwa sababu ni watu wa jamii moja, kabila moja na dini moja. Amesema kwa hali kama hiyo ni rahisi mtu mwenye nia mbaya kujipenyeza. Hata hivyo bado ulinzi wa mpaka umeimarika.


    “Hatujawa na tatizo na ndio maana tunajivuna kwamba Mtwara iko shwari. Tunazungumza kwa kifua mbele kwamba wenye kuja waje. Mtwara iko salama Mtwara ni mahali pazuri panakalika.” Amesema Mmanda.

  • Marafiki wa Masasi Enzkreis-Masasi partinership

    August 9th, 2018

    Enzkreis-Masasi Partinership e.V ni ushirikiano wa maendeleo kati ya wilaya za Masasi (Tanzania) na Enzkreis (Ujerumani). e.V ni kufupisho cha neno la kijerumani 'Verein' lenye maana ya shirika lisilo la kiserikali.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MIAKA 20 BODI YA MIKOPO; WADAIWA KUFUATILIWA KWA WAAJIRI

    February 14, 2025
  • SARATANI YA MATITI SASA KUCHUNGUZWA NDANI YA MIEZI MIWILI MTWARA.

    February 14, 2025
  • WADAU WA MAENDELEO MTWARA KUSAIDIA WALIOATHIRIWA NA MVUA

    February 10, 2025
  • RC SAWALA ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MVUA

    February 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.