Amerishishwa na hali ya ukusanyaji wa fedha za Ndani na mshikamano walio nao hapo Tandahimba.
Mheshimiwa Waziri Mkuu amewaagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya hizo fedha za ujenzi wa jengo la Ofisi za halmashauri hiyo
Ujenzi wa miundombinuya Kituo cha Afya Likombe umefikia asilimia 93 ukiwa umegharimu milioni 326,457,759.18.Kati ya milioni 500 zilizotolewa na serikali kuu kwa kazi hiyo.
Asilimia 7iliyobaki inatarajia kukamilika baada ya wiki mbili kuanzia Januari 1, mwakahuu. Hadi kukamilika mradi huo Manispaa imekadiria kutumia milioni 400 nakubakiwa na shilingi milioni 100.
Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.